Friday 15 May 2015

ANDRE SCHURRLE AELEZA HISIA ZAKE




Mchezaji wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle amesema alipata mshangao kuona ujumbe mfupi wa maandishi kupitia simu kutoka kwa kocha wake wa zamani Jose Mourinho ukisema medali ya ubingwa wa ligi kuu ilikuwa inamsubiri yeye.

Schurrle amejiunga na Wolsburg kwa ya pound million 22 mnamo mwezi February.Katika msimu huu mchezaji huyo amecheza mara 14 tu katika mechi za mwanzoni na mara nyingi alikuwa akitokea benchi.

“Mourinho alinitumiaujumbe kwenye simu kuniarifu kwamba nitapata medali na kunitaka niende katikamechi ya mwisho” alisema mchezaji huyo.“Sikujua kama ningepata medali kwakuwasijacheza sana katika mkondo wa pili wa ligi” aliongeza Schurrle.

RAILA LAUNCHES PREMIUM SMS SERVICE: IS HE RAISING CAMPAIGN FUNDS?


Shortly after announcing the launch of his website www.rao.co.ke , Raila Odinga has now launched a premium sms services which sends a clear message that he might be in the ballot box come 2017 general elections.
 
In a post that appeared in the ODM leader’s official website, Raila Odiunga through his secretariat indicated that the premium sms service will be managed by his secretariat and will enable his fans to receive updates about him via sms.


To subscribe to Raila Odinga SMS updates send a text message with the word “Raila” to 20217. Once you send the sms you will get a confirmation message indicating that you are subscribed to Raila Odinga updates.

However what most people wont see is that the premium sms service cost will be footed by the subscribers. Which is in other words is an income generating unit to the CORD team. All they have to do is send as many updates to the subscribers to get more from their pockets.