Wednesday 13 August 2014

TAWI LA KEFORA LAOMBOLEZA KIFO CHA REFEREE AKOKO:

Aliyekuwa referee wa ligi kuu nchini KPL Adel Akoko , amefariki.
Kulingana na familia ya marehemu, mwendazake aliaga dunia mwendo wa saa kumi alasiri ya jana kwenye hospitali kuu ya mkoa wa pwani alikolazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Kufuatia kifo chake, meneja wa marefarii tawi la kusini mwa pwani Kennedy Kiema pamoja na mwenyekiti wa marefarii ukanda wa pwani Bw. Shilingi fumbwe wametoa risala zao za rambi rambi kwa jamaa na marafiki.
Hadi mauti yake, Adel alikuwa katibu wa chama cha mareferee tawi la kusini mwa pwani.

KENYA RANKED AS A HIGH RISK AREA FOR EBOLA ATTACK



The World Health Organisation (WHO) has categorised Kenya as a high risk area for Ebola transmission.
WHO representative in Kenya Dr Custodia Mandhate said Kenya is classified as level 2, which means a high risk area for transmission category.
She commended efforts by the Ministry of Health to screen passengers jetting into the country at Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) from countries with Ebola but called for additional measures to prevent the virus from spreading
Mean while  Health Cabinet Secretary James Macharia said banning Kenya Airways from flying to West Africa will not help stop the spread of the virus.
He said other airlines such as RwandaAir and Ethiopian Airlines are flying the route and land at JKIA
Travellers have raised concern over “poor” screening of passengers from Ebola-hit countries at the Jomo Kenyatta International Airport, which they fear could increase the possibility of the deadly disease spreading into Kenya.
Kenyans returning home turned to social media to protest at the lack of proper screening at the JKIA and urged airport bosses and airline managers to protect the public from the deadly disease that has caused panic across the world.
SOURCE:Dailynation.co.ke