Wednesday, 5 November 2014

UKEKETAJI WA WASICHANA WADORORESHA ELIMU LAMU


Ukeketaji wa wasichana unaoendelea kutekelezwa kila uchao katika jamii ya Boni kaunti ya Lamu umetajwa kama changamoto kuu inayosababisha kudorora kwa viwango vya elimu katika eneo hilo.
 
Haya ni kwa mujibu wa afisa mkuu wa elimu ya afya,jinsia na jamii katika kaunti hiyo Hamisi Kaviha ambapo amesema hali hiyo inaendelea kuzidi na kusababisha wasichana wengi kupachikwa mimba miongoni mwao 15 kutoka shule ya msingi ya Bargoni.

Akizungumza na wanahabari wakati wa ziara yake katika eneo la Boni Kaviha ameeleza kuwa afisi yake ilibaini kwamba shughuli hiyo hutekelezwa kwa watoto walio kati ya umri wa miaka 9 na 10 hasa kwenye sherehe za mwezi December.

Amedokeza kuwa baada ya wasichana hao kukeketwa wao hujihisi kwamba wako katika nafasi ya kupata kuolewa mapema kabla ya umri wao kufika.

Hata hivyo amesema wameweka mikakati ya kushirikiana na machifu pamoja na viongozi wengine ili kuwakamata wale ambao wanahusika na maafa hayo.

Friday, 31 October 2014

MOMBASA COUNTY GOVERNMENT TO IMPROVE HYGIENE AND SANITATION


The hygiene and sanitation standards for 80,000 school children in Mombasa is set to raise, the Mombasa county’s executive member  for water, Environment and Natural resources, Ms Fatma Awale, has said.
 
Speaking to the press on Thursday Ms Awale said that the county government has set aside Ksh.110 million to ensure all public Early Childhood Development centres and primary schools in the county receive both water and proper ablution blocks relative to the student’s population.

“This will greatly reduce the prevalence of communicable diseases that have been ailing our children and affecting their studies”, said Awale

The announcement follows the receiving of a 2billion grant to improve water and distribution networks in the county. 

The grant came from two donors ;the World Bank group through the Water Security and Climate Resilience Program and the Royal Dutch Government through Vitens Evides. According to Awale the two donors gave Ksh. 1.3 billion and 704 million respectively.

Targeting to complete 100,000 new water connections within two years the grant will significantly impact the lives of over half a million people.

Part of the funding will be utilized in facilitating water connections in low income areas such as Likoni, Changamwe, Jomvu and Kisauni.  Another portion of the funding will be set aside for capacity building and the turnaround of Mombasa Water and Sewerage Company.

“These efforts will not only ensure availability of water to all corners of the county but also is in preparation to absorb the 100,000 cubic meter of water that will be supplied daily upon completion of Mwache Dam”, Said Fatma.

According to Awale the project is in line with Governor Hassan Joho’s vision in providing Mombasa residents with drinking water by the end of 2016.