Monday 22 September 2014

MAKUNDI YA KINA MAMA YALAUMU SERIKALI YA KAUNTI TAITA TAVETA


Baaadhi makundi ya kina mama kutoka   kaunti ya taita taveta, yameilaumu serikali ya kaunti hiyo kwa kukawia kuwapa mikopo lichaya kuwaahidi na kuwalaumu kina mama hao kutojihusisha na mikopo kama njia mojawapo ya kukabilian na umaskini unaoshamiri kwa joshi katika eneo hilo.
Kulingana na na kundi moja la akina mama hao ni kuwa serikali inawahangaisha mno tangu watume maombi  ya mikopo hiyo mwanzoni mwa maka huu ambapo hadi sasa hawajapata mikopo hiyo
Aidha wameitaka serikali kuanza kutoa mikopo hiyo kwa haraka ili kuwawezesha kukabiliana na  janga la umaskini.
Haya yanajiri baada ya serikali kuunda kamati ya kuwajibikia mikopo hiyo hivi majuzi ikiwemo hazina ya datu sawazisha fund ya kaunti sawia nahazina kutoka kwa serikali kuu ya hazina fund.
Hata hivyo serikali  ya kaunti imekuwa ikiwalaumu kina mama kwa kutijitokeza kwa idadi kubwa kuomba mikopo ili kuinua maisha yao kiuchumi kwa hofu ya kuogopa kushindwa kulipa zabuni ya mikopo hiyo.

No comments:

Post a Comment

COMMENT